Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Wakorintho 6:16

2 Wakorintho 6:16 NEN

Kuna mapatano gani kati ya Hekalu la Mungu na sanamu? Kwa kuwa sisi tu Hekalu la Mungu aliye hai. Kama Mungu alivyosema: “Nitakaa pamoja nao na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Wakorintho 6:16

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha