Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Nyakati 14:11

2 Nyakati 14:11 NEN

Kisha Asa akamlilia BWANA Mungu wake na kusema, “Ee BWANA, hakuna yeyote aliye kama wewe wa kuwasaidia wasio na nguvu dhidi ya wenye nguvu. Utusaidie, Ee BWANA, wewe ndiwe Mungu wetu, kwa kuwa tunakutumainia wewe, nasi kwa jina lako tumekuja dhidi ya jeshi hili kubwa. Ee BWANA, wewe ndiwe Mungu wetu, usiwaache wanadamu wakushinde wewe.”