Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samweli 15:11

1 Samweli 15:11 NEN

“Ninasikitika kwamba nimemfanya Sauli kuwa mfalme, kwa sababu ameacha kunifuata mimi na hakutimiza maagizo yangu.” Samweli akafadhaika, naye akamlilia BWANA usiku ule wote.