Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Nyakati 10:13-14

1 Nyakati 10:13-14 NEN

Sauli alikufa kwa sababu hakuwa mwaminifu kwa BWANA. Hakulishika neno la BWANA, hata akataka shauri kwa mwaguzi kwa ajili ya uongozi, hakumuuliza BWANA. Kwa hiyo BWANA alimuua, na ufalme akampa Daudi mwana wa Yese.

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha