Walipokuwa wakitumbuliza macho mbinguni, alikokwenda, mara waume wawili wenye nguo nyeupe wakasimama huko kwao, nao wakasema: Nyie waume wa Galilea, mmesimamaje mkitazama mbinguni? Huyu Yesu aliyechukuliwa kwenu na kupazwa mbinguni atarudi vivyo hivyo, mlivyomwona, akienda zake mbinguni.*