1
Kutoka 1:17
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Lakini kwa kuwa wakunga hao walimcha Mungu, hawakufanya kama walivyoamriwa na mfalme wa Misri, bali waliwaacha watoto wa kiume wa Waisraeli waishi.
Linganisha
Chunguza Kutoka 1:17
2
Kutoka 1:12
Lakini kadiri walivyoteswa ndivyo Waisraeli walivyozidi kuongezeka na kuenea nchini. Hivyo Wamisri wakawaogopa sana watu wa Israeli.
Chunguza Kutoka 1:12
3
Kutoka 1:21
Na kwa vile wakunga hao walimcha Mungu, Mungu akawajalia kupata jamaa zao wenyewe.
Chunguza Kutoka 1:21
4
Kutoka 1:8
Basi, akatokea mfalme mwingine huko Misri ambaye hakumjua Yosefu.
Chunguza Kutoka 1:8
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video