1
Matendo 12:5
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Basi, Petro alipokuwa gerezani, kanisa lilikuwa linamwombea kwa Mungu kwa moyo.
Linganisha
Chunguza Matendo 12:5
2
Matendo 12:7
Ghafla, malaika wa Bwana akasimama karibu naye na mwanga ukaangaza kile chumba cha gereza. Malaika akamgusa ubavuni akamwamsha akisema, “Ondoka upesi!” Mara ile minyororo iliyomfunga mikono ikakatika na kuanguka chini.
Chunguza Matendo 12:7
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video