1
Zaburi 10:17-18
Swahili Revised Union Version
BWANA, utayasikia matakwa ya wanyonge, Uutaidhibiti mioyo yao, utalitega sikio lako. Ili kumhukumu yatima na aliyeonewa, Binadamu aliye udongo asizidi kudhulumu.
Linganisha
Chunguza Zaburi 10:17-18
2
Zaburi 10:14
Umeona, maana unaangalia matatizo na dhiki, Uyatwae mkononi mwako. Mtu duni hukuachia nafsi yake, Maana umekuwa msaidizi wa yatima.
Chunguza Zaburi 10:14
3
Zaburi 10:1
Ee BWANA, kwa nini wasimama mbali? Kwani unajificha nyakati za shida?
Chunguza Zaburi 10:1
4
Zaburi 10:12
Inuka, Ee Mungu BWANA, uuinue mkono wako, Ee Mungu Usiwasahau wanyonge.
Chunguza Zaburi 10:12
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video