1
Zab 147:3
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Huwaponya waliopondeka moyo, Na kuziganga jeraha zao.
Linganisha
Chunguza Zab 147:3
2
Zab 147:11
BWANA huwaridhia wao wamchao, Na kuzitarajia fadhili zake.
Chunguza Zab 147:11
3
Zab 147:5
Bwana wetu ni mkuu na mwingi wa nguvu, Akili zake hazina mpaka.
Chunguza Zab 147:5
4
Zab 147:4
Huihesabu idadi ya nyota, Huzipa zote majina.
Chunguza Zab 147:4
5
Zab 147:6
BWANA huwategemeza wenye upole, Huwaangusha chini wenye jeuri.
Chunguza Zab 147:6
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video