1
Zab 144:1
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Na ahimidiwe BWANA, mwamba wangu, Anifundishaye mikono yangu vita, Vidole vyangu kupigana.
Linganisha
Chunguza Zab 144:1
2
Zab 144:15
Heri watu wenye hali hiyo, Heri watu wenye BWANA kuwa Mungu wao.
Chunguza Zab 144:15
3
Zab 144:2
Mhisani wangu na boma langu, Ngome yangu na mwokozi wangu, Ngao yangu niliyemkimbilia, Huwatiisha watu wangu chini yangu.
Chunguza Zab 144:2
4
Zab 144:3
Ee BWANA, mtu ni kitu gani hata umjue? Na binadamu hata umwangalie?
Chunguza Zab 144:3
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video