1
Zab 138:7
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Nijapokwenda kati ya shida utanihuisha, Utanyosha mkono juu ya hasira ya adui zangu, Na mkono wako wa kuume utaniokoa.
Linganisha
Chunguza Zab 138:7
2
Zab 138:3
Siku ile niliyokuita uliniitikia, Ukanifariji nafsi kwa kunitia nguvu.
Chunguza Zab 138:3
3
Zab 138:1
Nitakushukuru kwa moyo wangu wote, Mbele ya miungu nitakuimbia zaburi.
Chunguza Zab 138:1
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video