1
Mit 20:22
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Usiseme, Mimi nitalipa mabaya; Mngojee BWANA, naye atakuokoa.
Linganisha
Chunguza Mit 20:22
2
Mit 20:24
Mwenendo wa mtu watoka kwa BWANA; Basi, awezaje mtu kuelewa na njia yake?
Chunguza Mit 20:24
3
Mit 20:27
Pumzi ya mwanadamu ni taa ya BWANA; Hupeleleza yote yaliyomo ndani yake.
Chunguza Mit 20:27
4
Mit 20:5
Mashauri ya moyoni ni kama kilindi; Lakini mtu mwenye ufahamu atayateka.
Chunguza Mit 20:5
5
Mit 20:19
Mwenye kitango akisingizia hufunua siri; Basi, usishirikiane naye afunuaye midomo yake sana.
Chunguza Mit 20:19
6
Mit 20:3
Mtu kujitenga na ugomvi ni heshima kwake; Bali kila mpumbavu ataka kugombana.
Chunguza Mit 20:3
7
Mit 20:7
Mwenye haki aendaye katika unyofu wake, Watoto wake wabarikiwa baada yake.
Chunguza Mit 20:7
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video