1
Zekaria 7:9
Neno: Bibilia Takatifu
“Hivi ndivyo asemavyo BWANA Mwenye Nguvu Zote: ‘Fanyeni hukumu za haki, onyesheni rehema na huruma ninyi kwa ninyi.
Linganisha
Chunguza Zekaria 7:9
2
Zekaria 7:10
Msimwonee mjane wala yatima, mgeni wala maskini. Msiwaziane mabaya mioyoni mwenu ninyi kwa ninyi.’
Chunguza Zekaria 7:10
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video