1
Ufunuo 15:4
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Ni nani ambaye hatakuogopa wewe Mwenyezi Mungu na kulitukuza jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako ndiwe mtakatifu. Mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako, kwa kuwa matendo yako ya haki yamedhihirishwa.”
Linganisha
Chunguza Ufunuo 15:4
2
Ufunuo 15:1
Ndipo nikaona ishara nyingine kubwa ya ajabu mbinguni: malaika saba wenye yale mapigo saba ya mwisho, kwa sababu kwa mapigo hayo ghadhabu ya Mungu ilikuwa imekamilika.
Chunguza Ufunuo 15:1
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video