1
Zaburi 97:10
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Wale wanaompenda Mwenyezi Mungu na wauchukie uovu, kwa maana yeye hulinda maisha ya waaminifu wake na kuwaokoa kutoka mkononi mwa mwovu.
Linganisha
Chunguza Zaburi 97:10
2
Zaburi 97:12
Furahini katika Mwenyezi Mungu, enyi wenye haki, lisifuni jina lake takatifu.
Chunguza Zaburi 97:12
3
Zaburi 97:11
Nuru huangaza wenye haki na furaha kwa watu wanyofu wa moyo.
Chunguza Zaburi 97:11
4
Zaburi 97:9
Kwa kuwa wewe, Ee Mwenyezi Mungu, ndiwe Uliye Juu Sana kuliko dunia yote; umetukuka sana juu ya miungu yote.
Chunguza Zaburi 97:9
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video