1
Zaburi 66:18
Neno: Bibilia Takatifu
Kama ningekuwa nimeyaficha maovu moyoni mwangu, Bwana asingekuwa amenisikiliza
Linganisha
Chunguza Zaburi 66:18
2
Zaburi 66:20
Sifa apewe Mungu, ambaye hakulikataa ombi langu wala kunizuilia upendo wake!
Chunguza Zaburi 66:20
3
Zaburi 66:3
Mwambieni Mungu, “Jinsi gani yalivyo ya kutisha matendo yako! Uwezo wako ni mkuu mno kiasi kwamba adui wananyenyekea mbele zako.
Chunguza Zaburi 66:3
4
Zaburi 66:1-2
Mpigieni Mungu kelele za shangwe, dunia yote! Imbeni utukufu wa jina lake; mpeni sifa zake kwa utukufu!
Chunguza Zaburi 66:1-2
5
Zaburi 66:10
Ee Mungu, wewe ulitujaribu, ukatusafisha kama fedha.
Chunguza Zaburi 66:10
6
Zaburi 66:16
Njooni msikilize ninyi nyote mnaomcha Mungu, nami niwaambie aliyonitendea.
Chunguza Zaburi 66:16
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video