1
Zaburi 52:8
Neno: Bibilia Takatifu
Lakini mimi ni kama mti wa mzeituni unaostawi katika nyumba ya Mungu, nautegemea upendo wa Mungu usiokoma milele na milele.
Linganisha
Chunguza Zaburi 52:8
2
Zaburi 52:9
Nitakusifu milele kwa yale uliyoyatenda, nitatumaini jina lako, kwa kuwa jina lako ni jema. Nitakusifu mbele ya watakatifu wako.
Chunguza Zaburi 52:9
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video