1
Hesabu 12:8
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Kwake nitanena naye uso kwa uso, waziwazi wala si kwa mafumbo; yeye ataona umbo la Mwenyezi Mungu. Kwa nini basi ninyi hamkuogopa kuzungumza kinyume cha mtumishi wangu Musa?”
Linganisha
Chunguza Hesabu 12:8
2
Hesabu 12:3
(Basi Musa alikuwa mtu mnyenyekevu sana, mnyenyekevu kuliko mtu mwingine yeyote katika uso wa dunia.)
Chunguza Hesabu 12:3
3
Hesabu 12:6
Mwenyezi Mungu akawaambia, “Sikilizeni maneno yangu: “Akiwepo nabii wa Mwenyezi Mungu miongoni mwenu, nitajifunua kwake kwa maono, nitanena naye katika ndoto.
Chunguza Hesabu 12:6
4
Hesabu 12:7
Lakini sivyo kwa mtumishi wangu Musa; yeye ni mwaminifu katika nyumba yangu yote.
Chunguza Hesabu 12:7
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video