1
Esta 8:17
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Katika kila jimbo na katika kila jiji, popote waraka wa mfalme ulipofika, kulikuwa na furaha na shangwe miongoni mwa Wayahudi, pamoja na karamu na kushangilia. Na watu wengi wa mataifa mengine wakajifanya Wayahudi kwa sababu ya kuwahofu Wayahudi.
Linganisha
Chunguza Esta 8:17
2
Esta 8:11
Waraka wa mfalme uliwaruhusu Wayahudi katika kila mji kuwa na haki ya kukusanyika na kujilinda wenyewe; kuharibu, kuua na kuangamiza jeshi lolote, taifa lolote au jimbo lile litakalowashambulia wao, wake zao, watoto wao na kuteka mali ya adui zao.
Chunguza Esta 8:11
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video