1
Kumbukumbu 9:5
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Si kwa sababu ya haki yenu wala uadilifu wenu kwamba mtaimiliki nchi yao; lakini kwa sababu ya uovu wa mataifa haya, Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, atawafukuza mbele yenu, ili kutimiza lile alilowaapia baba zenu Ibrahimu, Isaka na Yakobo.
Linganisha
Chunguza Kumbukumbu 9:5
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video