1
2 Wakorintho 13:5
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Jichunguzeni wenyewe mwone kama mnaishi katika imani. Jipimeni wenyewe. Je, hamtambui ya kuwa Isa Al-Masihi yu ndani yenu? Kama sivyo, basi, mmeshindwa kufikia kipimo hicho!
Linganisha
Chunguza 2 Wakorintho 13:5
2
2 Wakorintho 13:14
Neema ya Bwana Isa Al-Masihi, na upendo wa Mungu, na ushirika wa Roho wa Mungu ukae nanyi nyote.
Chunguza 2 Wakorintho 13:14
3
2 Wakorintho 13:11
Hatimaye, ndugu zangu, kwaherini. Kuweni wakamilifu, farijianeni, kuweni na nia moja, na mkae kwa amani. Naye Mungu wa upendo na amani atakuwa pamoja nanyi.
Chunguza 2 Wakorintho 13:11
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video