1
1 Wathesalonike 1:2-3
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Siku zote tunamshukuru Mungu kwa ajili yenu ninyi nyote, tukiwataja kwenye maombi yetu daima. Tunaikumbuka daima kazi yenu ya imani mbele za Mungu aliye Baba yetu, taabu yenu katika upendo na saburi yenu ya tumaini katika Bwana wetu Isa Al-Masihi.
Linganisha
Chunguza 1 Wathesalonike 1:2-3
2
1 Wathesalonike 1:6
Nanyi mkawa wafuasi wetu na wa Bwana Isa, ingawa mlipata mateso mengi, mlilipokea lile Neno kwa furaha katika Roho wa Mungu.
Chunguza 1 Wathesalonike 1:6
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video