1
1 Samweli 30:6
Neno: Bibilia Takatifu
Daudi alihuzunika sana kwa sababu watu walikuwa wakisemezana juu ya kumpiga kwa mawe. Kila mmoja alikuwa na uchungu rohoni kwa sababu ya wanawe na binti zake. Lakini Daudi akajitia nguvu katika BWANA, Mungu wake.
Linganisha
Chunguza 1 Samweli 30:6
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video