1
1 Wafalme 11:4
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Kadiri Sulemani alivyozidi kuzeeka, wake zake wakaugeuza moyo wake kuelekea miungu mingine, na moyo wake haukujitoa kikamilifu kwa Mwenyezi Mungu, Mungu wake, kama ulivyokuwa moyo wa Daudi baba yake.
Linganisha
Chunguza 1 Wafalme 11:4
2
1 Wafalme 11:9
Mwenyezi Mungu akamkasirikia Sulemani kwa sababu moyo wake uligeuka mbali na Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli, aliyekuwa amemtokea mara mbili.
Chunguza 1 Wafalme 11:9
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video