1
1 Wakorintho 1:27
Neno: Bibilia Takatifu
Lakini Mungu alivichagua vitu vipumbavu vya ulimwengu ili awaaibishe wenye hekima, Mungu alivichagua vitu dhaifu vya ulimwengu ili awaaibishe wenye nguvu.
Linganisha
Chunguza 1 Wakorintho 1:27
2
1 Wakorintho 1:18
Kwa maana ujumbe wa msalaba kwa wale wanaopotea ni upuzi, lakini kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.
Chunguza 1 Wakorintho 1:18
3
1 Wakorintho 1:25
Kwa maana upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, nao udhaifu wa Mungu una nguvu kuliko nguvu ya wanadamu.
Chunguza 1 Wakorintho 1:25
4
1 Wakorintho 1:9
Mungu ambaye mmeitwa naye ili mwe na ushirika na Mwanawe Yesu Kristo, Bwana wetu ni mwaminifu.
Chunguza 1 Wakorintho 1:9
5
1 Wakorintho 1:10
Nawasihi ndugu zangu, katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba mpatane nia zenu ninyi kwa ninyi, ili pasiwepo na matengano katikati yenu na kwamba mwe na umoja kikamilifu katika nia na katika kusudi.
Chunguza 1 Wakorintho 1:10
6
1 Wakorintho 1:20
Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi msomi? Yuko wapi mwanafalsafa wa nyakati hizi? Je, Mungu hakufanya hekima ya ulimwengu huu kuwa upumbavu?
Chunguza 1 Wakorintho 1:20
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video