1
Luka 13:24
Swahili Revised Union Version
Jitahidini kuingia katika mlango ulio mwembamba, kwa maana nawaambia ya kwamba wengi watataka kuingia, wasiweze.
Jämför
Utforska Luka 13:24
2
Luka 13:11-12
Na tazama, palikuwa na mwanamke aliyekuwa na pepo wa udhaifu muda wa miaka kumi na minane, naye amepindana, hawezi kujinyosha kabisa. Yesu alipomwona alimwita, akamwambia, Mama, umefunguliwa katika udhaifu wako.
Utforska Luka 13:11-12
3
Luka 13:13
Akaweka mikono yake juu yake, naye akanyoka mara hiyo, akamtukuza Mungu.
Utforska Luka 13:13
4
Luka 13:30
Na tazama, wako walio wa mwisho watakaokuwa wa kwanza, na wa kwanza watakaokuwa wa mwisho.
Utforska Luka 13:30
5
Luka 13:25
Wakati mwenye nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako
Utforska Luka 13:25
6
Luka 13:5
Nawaambia, Sivyo; lakini msipotubu, ninyi nyote mtaangamia vivyo hivyo.
Utforska Luka 13:5
7
Luka 13:27
Naye atasema, Nawaambia, Siwajui mtokako; ondokeni kwangu ninyi nyote mlio wafanyaji wa udhalimu.
Utforska Luka 13:27
8
Luka 13:18-19
Kisha alisema, Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Nami niufananishe na nini? Umefanana na punje ya haradali aliyotwaa mtu akaitupa katika shamba lake; ikamea, ikawa mti; ndege wa angani wakakaa katika matawi yake.
Utforska Luka 13:18-19
Hem
Bibeln
Planer
Videor