YouVersion logo
Dugme za pretraživanje

Luka 13:18-19

Luka 13:18-19 SRUV

Kisha alisema, Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Nami niufananishe na nini? Umefanana na punje ya haradali aliyotwaa mtu akaitupa katika shamba lake; ikamea, ikawa mti; ndege wa angani wakakaa katika matawi yake.

Video za Luka 13:18-19