1
Mwa 2:24
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
Krahaso
Eksploroni Mwa 2:24
2
Mwa 2:18
BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Eksploroni Mwa 2:18
3
Mwa 2:7
BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
Eksploroni Mwa 2:7
4
Mwa 2:23
Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
Eksploroni Mwa 2:23
5
Mwa 2:3
Mungu akaibarikia siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya.
Eksploroni Mwa 2:3
6
Mwa 2:25
Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya.
Eksploroni Mwa 2:25
YouVersion përdor cookie për të personalizuar përvojën tuaj. Duke përdorur faqen tonë të internetit, ju pranoni përdorimin tonë të cookies siç përshkruhet në Politikën tonë të Privatësisë
Kreu
Bibla
Plane
Video