1
Yohana 8:12
Swahili Roehl Bible 1937
Kisha Yesu akawaambia tena akisema: Mimi ndio mwanga wa ulimwengu; anifuataye mimi hataendelea kwenda gizani, ila atakuwa anao mwanga wa uzima.
Yenzanisa
Ongorora {{vhesi}}
2
Yohana 8:32
mwitambue iliyo ya kweli, nayo iliyo ya kweli itawakomboa.
3
Yohana 8:31
*Hao Wayuda waliomtegemea Yesu akawaambia: Ninyi mkilikalia Neno langu, kweli m wanafunzi wangu
4
Yohana 8:36
Basi, huyo Mwana atakapowakomboa, mtakuwa mmekombolewa kweli.*
5
Yohana 8:7
Lakini walipokaza kumwuliza, akainua macho, akawaambia: Ninyi, asiye na kosa na aanze kumtupia jiwe!
6
Yohana 8:34
Yesu akawajibu: Kweli kweli nawaambiani: Kila afanyaye makosa ni mtumwa wa makosa.
7
Yohana 8:10-11
Yesu alipoinua macho, akamwambia: Mama, wako wapi wale waliokusuta? Hakuna aliyekupatiliza? Aliposema: Hakuna, Bwana, Yesu akasema: Basi, hata mimi sikupatilizi; nenda zako! Lakini tangu sasa usikose tena!
Pekutangira
Bhaibheri
Zvirongwa
Mavideo