1
Luka 14:26
Biblia Habari Njema
“Mtu yeyote akija kwangu, asipomchukia baba yake, mama yake, mke wake, watoto, ndugu na dada zake, naam, hata na nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
Primerjaj
Explore Luka 14:26
2
Luka 14:27
Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
Explore Luka 14:27
3
Luka 14:11
Kwa maana yeyote anayejikweza atashushwa na anayejishusha, atakwezwa.”
Explore Luka 14:11
4
Luka 14:33
Vivyo hivyo, basi, hakuna hata mmoja wenu atakayekuwa mwanafunzi wangu kama asipoachilia kila kitu alicho nacho.
Explore Luka 14:33
5
Luka 14:28-30
Kwa maana, ni nani miongoni mwenu ambaye akitaka kujenga mnara hataketi kwanza akadirie gharama zake ili ajue kama ana kiasi cha kutosha cha kumalizia? La sivyo, baada ya kuweka msingi na kushindwa kumaliza, watu watamcheka wakisema: ‘Mtu huyu alianza kujenga, lakini hakumalizia.’
Explore Luka 14:28-30
6
Luka 14:13-14
Badala yake, unapofanya karamu, waalike maskini, vilema, viwete na vipofu, nawe utakuwa umepata baraka, kwa kuwa hao hawana cha kukulipa. Maana Mungu atakupa tuzo lako wakati watu wema watakapofufuka.”
Explore Luka 14:13-14
7
Luka 14:34-35
“Chumvi ni nzuri; lakini ikipoteza ladha yake, itakolezwa na nini? Haifai kitu wala kwa udongo wala kwa mbolea. Watu huitupilia mbali. Mwenye masikio na asikie!”
Explore Luka 14:34-35
Domov
Sveto pismo
Bralni načrti
Videoposnetki