1
Yohane 8:12
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu. Anayenifuata mimi hatembei kamwe gizani, bali atakuwa na mwanga wa uhai.”
Primerjaj
Razišči Yohane 8:12
2
Yohane 8:32
Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru.”
Razišči Yohane 8:32
3
Yohane 8:31
Basi, Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, “Kama mkiyazingatia mafundisho yangu mtakuwa kweli wanafunzi wangu.
Razišči Yohane 8:31
4
Yohane 8:36
Mwana akiwapeni uhuru mtakuwa huru kweli.
Razišči Yohane 8:36
5
Yohane 8:7
Walipozidi kumwuliza, Yesu akainuka, akawaambia, “Mtu asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza kumpiga jiwe.”
Razišči Yohane 8:7
6
Yohane 8:34
Yesu akawajibu, “Kweli nawaambieni, kila mtu anayetenda dhambi ni mtumwa wa dhambi.
Razišči Yohane 8:34
7
Yohane 8:10-11
Yesu alipoinuka akamwuliza huyo mwanamke, “Wako wapi wale watu? Je, hakuna hata mmoja aliyekuhukumu?” Huyo mwanamke akamjibu, “Bwana, hakuna hata mmoja!” Naye Yesu akamwambia, “Wala mimi sikuhukumu. Nenda zako; na tangu sasa usitende dhambi tena.”]
Razišči Yohane 8:10-11
Domov
Sveto pismo
Bralni načrti
Videoposnetki