1
Mwanzo 16:13
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Basi, Hagari akampa jina Mwenyezi-Mungu aliyezungumza naye huko, “Wewe ni Mungu Aonaye” kwa maana alifikiri, “Kweli hapa nimemwona yeye anionaye!”
සසඳන්න
Mwanzo 16:13 ගවේෂණය කරන්න
2
Mwanzo 16:11
Kisha huyo malaika wa Mwenyezi-Mungu akamwambia, “Wewe ni mjamzito na utajifungua mtoto wa kiume; utamwita Ishmaeli, maana Mwenyezi-Mungu amesikia mateso yako.
Mwanzo 16:11 ගවේෂණය කරන්න
3
Mwanzo 16:12
Ishmaeli ataishi kama pundamwitu; atakuwa adui wa kila mtu na kila mtu atakuwa adui yake. Ataishi akiwa adui wa jamaa yake.”
Mwanzo 16:12 ගවේෂණය කරන්න
නිවස
බයිබලය
සැලසුම්
වීඩියෝ