1
Mwanzo 11:6-7
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Mwenyezi-Mungu akasema, “Tazama, watu hawa ni taifa moja na wote wana lugha moja; huu ni mwanzo tu wa yale watakayoyafanya. Lolote wanalokusudia kulifanya watafanikiwa. Haya, na tushuke chini na kuivuruga lugha yao ili wasielewane wao kwa wao.”
සසඳන්න
Mwanzo 11:6-7 ගවේෂණය කරන්න
2
Mwanzo 11:4
Wakasema, “Na tujijengee mji na mnara ambao kilele chake kitafika mbinguni ili tujipatie jina, tusije tukatawanyika duniani kote.”
Mwanzo 11:4 ගවේෂණය කරන්න
3
Mwanzo 11:9
Mji huo ukaitwa Babeli, kwa sababu huko ndiko Mwenyezi-Mungu alikoivuruga lugha ya dunia yote, na kutoka huko akawatawanya watu kila mahali duniani.
Mwanzo 11:9 ගවේෂණය කරන්න
4
Mwanzo 11:1
Kwanza, watu wote duniani walikuwa na lugha moja na walitumia maneno yaleyale.
Mwanzo 11:1 ගවේෂණය කරන්න
5
Mwanzo 11:5
Ndipo Mwenyezi-Mungu akashuka chini kuuona mji huo na mnara walioujenga binadamu.
Mwanzo 11:5 ගවේෂණය කරන්න
6
Mwanzo 11:8
Hivyo, Mwenyezi-Mungu akawatawanya mahali pote duniani, nao wakaacha kuujenga ule mji.
Mwanzo 11:8 ගවේෂණය කරන්න
නිවස
බයිබලය
සැලසුම්
වීඩියෝ