1
Yohane 7:38
Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza
Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: ‘Anayeniamini mimi, mito ya maji ya uhai itatiririka kutoka moyoni mwake!’”
සසඳන්න
Yohane 7:38 ගවේෂණය කරන්න
2
Yohane 7:37
Siku ya mwisho ya sikukuu hiyo ilikuwa siku maalumu. Yesu alisimama, akasema kwa sauti kubwa, “Aliye na kiu na aje kwangu anywe.
Yohane 7:37 ගවේෂණය කරන්න
3
Yohane 7:39
(Alisema hayo kumhusu Roho ambaye wale waliomwamini yeye watampokea. Wakati huo Roho alikuwa hajafika kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa bado).
Yohane 7:39 ගවේෂණය කරන්න
4
Yohane 7:24
Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki.”
Yohane 7:24 ගවේෂණය කරන්න
5
Yohane 7:18
Yeye anayejisemea tu mwenyewe anatafuta sifa yake mwenyewe; lakini anayetafuta sifa ya yule aliyemtuma, huyo ni mwaminifu, na ndani yake hamna uovu wowote.
Yohane 7:18 ගවේෂණය කරන්න
6
Yohane 7:16
Hapo Yesu akawajibu, “Mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye aliyenituma.
Yohane 7:16 ගවේෂණය කරන්න
7
Yohane 7:7
Ulimwengu hauwezi kuwachukia nyinyi, lakini mimi wanichukia kwa sababu mimi nashuhudia juu yake kwamba matendo yake ni maovu.
Yohane 7:7 ගවේෂණය කරන්න
නිවස
බයිබලය
සැලසුම්
වීඩියෝ