1
Mwanzo 5:24
Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza
Alikuwa mcha Mungu, akatoweka, kwa maana Mungu alimchukua.
සසඳන්න
Mwanzo 5:24 ගවේෂණය කරන්න
2
Mwanzo 5:22
Henoki alikuwa mcha Mungu. Baada ya kumzaa Methusela, Henoki aliishi miaka 300 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.
Mwanzo 5:22 ගවේෂණය කරන්න
3
Mwanzo 5:1
Ifuatayo ni orodha ya wazawa wa Adamu. Wakati Mungu alipomuumba binadamu, alimuumba kwa mfano wake.
Mwanzo 5:1 ගවේෂණය කරන්න
4
Mwanzo 5:2
Aliwaumba mwanamume na mwanamke, kisha akawabariki na kuwapa jina “Binadamu.”
Mwanzo 5:2 ගවේෂණය කරන්න
නිවස
බයිබලය
සැලසුම්
වීඩියෝ