1
Luka 23:34
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Isa akasema, “Baba, wasamehe, kwa maana hawajui walitendalo!” Wakagawana nguo zake kwa kupiga kura.
සසඳන්න
Luka 23:34 ගවේෂණය කරන්න
2
Luka 23:43
Isa akamjibu, “Amin, nakuambia, leo utakuwa pamoja nami Paradiso.”
Luka 23:43 ගවේෂණය කරන්න
3
Luka 23:42
Kisha akasema, “Isa, unikumbuke utakapokuja katika ufalme wako.”
Luka 23:42 ගවේෂණය කරන්න
4
Luka 23:46
Isa akapaza sauti yake akasema, “Baba, mikononi mwako naikabidhi roho yangu.” Baada ya kusema haya, akakata roho.
Luka 23:46 ගවේෂණය කරන්න
5
Luka 23:33
Walipofika mahali paitwapo Fuvu la Kichwa, hapo ndipo walimsulubisha Isa pamoja na hao wahalifu, mmoja upande wake wa kuume, na mwingine upande wake wa kushoto.
Luka 23:33 ගවේෂණය කරන්න
6
Luka 23:44-45
Ilikuwa kama saa sita mchana, nalo giza likafunika nchi yote hadi saa tisa, kwa sababu jua liliacha kutoa nuru. Pazia la Hekalu likachanika vipande viwili.
Luka 23:44-45 ගවේෂණය කරන්න
7
Luka 23:47
Yule jemadari alipoona yaliyotukia, akamsifu Mungu, akasema, “Hakika, mtu huyu alikuwa mwenye haki.”
Luka 23:47 ගවේෂණය කරන්න
නිවස
බයිබලය
සැලසුම්
වීඩියෝ