1
Mwanzo 5:24
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Idrisi akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.
සසඳන්න
Mwanzo 5:24 ගවේෂණය කරන්න
2
Mwanzo 5:22
Baada ya kumzaa Methusela, Idrisi alitembea na Mungu miaka mia tatu, na akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Mwanzo 5:22 ගවේෂණය කරන්න
3
Mwanzo 5:1
Hii ni orodha iliyoandikwa ya vizazi vya Adamu. Mungu alipomuumba mwanadamu, alimfanya kwa sura ya Mungu.
Mwanzo 5:1 ගවේෂණය කරන්න
4
Mwanzo 5:2
Aliwaumba mwanaume na mwanamke, akawabariki. Walipokwisha kuumbwa, akawaita “Binadamu.”
Mwanzo 5:2 ගවේෂණය කරන්න
නිවස
බයිබලය
සැලසුම්
වීඩියෝ