1
Mwanzo 2:24
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, na kuambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
සසඳන්න
Mwanzo 2:24 ගවේෂණය කරන්න
2
Mwanzo 2:18
Bwana Mwenyezi Mungu akasema, “Si vyema huyu mtu awe peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa kumfaa.”
Mwanzo 2:18 ගවේෂණය කරන්න
3
Mwanzo 2:7
Bwana Mwenyezi Mungu alimuumba mtu kutoka mavumbi ya ardhi, akampulizia pumzi ya uhai puani mwake, naye mtu akawa kiumbe hai.
Mwanzo 2:7 ගවේෂණය කරන්න
4
Mwanzo 2:23
Huyo mwanaume akasema, “Huyu sasa ni mfupa wa mifupa yangu, na nyama ya nyama yangu, ataitwa ‘mwanamke’, kwa kuwa alitolewa katika mwanaume.”
Mwanzo 2:23 ගවේෂණය කරන්න
5
Mwanzo 2:3
Mungu akaibariki siku ya saba, akaifanya takatifu, kwa sababu katika siku hiyo alipumzika baada ya kazi zote za kuumba alizokuwa amefanya.
Mwanzo 2:3 ගවේෂණය කරන්න
6
Mwanzo 2:25
Adamu na mkewe wote walikuwa uchi, wala hawakuona aibu.
Mwanzo 2:25 ගවේෂණය කරන්න
නිවස
බයිබලය
සැලසුම්
වීඩියෝ