1
Luka MT. 2:11
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
maana leo katika mji wa Daud amezaiiwa Mwokozi kwa ajili yenu, ndiye Kristo Bwana.
Compare
Luka MT. 2:11ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
2
Luka MT. 2:10
Malaika akawaambia, Msifanye khofu; kwa maana nawaletea ninyi khabari njema za furaha kuu, itakayokuwa kwa watu wote
Luka MT. 2:10ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
3
Luka MT. 2:14
Utukufu una Mungu palipo juu, Na katika inchi amani, kwa watu aliowaridhia.
Luka MT. 2:14ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
4
Luka MT. 2:52
Yesu akazidi kuendelea katika hekima, na kimo, na neema kwa Mungu na kwa watu.
Luka MT. 2:52ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
5
Luka MT. 2:12
Na hii ni ishara kwenu: Mtamkuta mtoto amefungwa nguo za kitoto; amelazwa horini.
Luka MT. 2:12ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
6
Luka MT. 2:8-9
Katika inchi ile ile walikuwako wachungaji wakikaa makondeni usiku na kulinda kundi lao kwa zamu. Malaika wa Bwana akawatokea, utukufu wa Bwana ukawangʼaria: wakaingiwa na khohi nyingi.
Luka MT. 2:8-9ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
Home
ਬਾਈਬਲ
Plans
ਵੀਡੀਓ