1
Luka 18:1
BIBLIA KISWAHILI
Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu siku zote, wala wasikate tamaa.
Compare
Luka 18:1ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
2
Luka 18:7-8
Na Mungu, je! Hatawapatia haki wateule wake wanaomlilia mchana na usiku, naye ni mvumilivu kwao? Nawaambia, atawapatia haki upesi; lakini, atakapokuja Mwana wa Adamu, je! Ataiona imani duniani?
Luka 18:7-8ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
3
Luka 18:27
Akasema, Yasiyowezekana kwa wanadamu yawezekana kwa Mungu.
Luka 18:27ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
4
Luka 18:4-5
Naye kwa muda alikataa; halafu akasema moyoni mwake, Ijapokuwa simchi Mungu wala sijali watu, lakini, kwa kuwa mjane huyu ananiudhi, nitampatia haki yake, asije akanichosha kwa kunijia daima.
Luka 18:4-5ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
5
Luka 18:17
Amin, nawaambia, Mtu yeyote asiyeupokea ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hauingii kamwe.
Luka 18:17ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
6
Luka 18:16
Bali Yesu akawaita waje kwake, akasema, Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie, kwa kuwa watu kama hao ufalme wa Mungu ni wao.
Luka 18:16ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
7
Luka 18:42
Yesu akamwambia, Upewe kuona; imani yako imekuponya.
Luka 18:42ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
8
Luka 18:19
Yesu akamwambia, Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, naye ndiye Mungu.
Luka 18:19ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
Home
ਬਾਈਬਲ
Plans
ਵੀਡੀਓ