1
Yohana 4:24
BIBLIA KISWAHILI
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
Compare
Yohana 4:24ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
2
Yohana 4:23
Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.
Yohana 4:23ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
3
Yohana 4:14
lakini yeyote atakayekunywa maji yale nitakayompa mimi hataona kiu milele; bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa milele.
Yohana 4:14ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
4
Yohana 4:10
Yesu akajibu, akamwambia, Kama ungaliijua karama ya Mungu, naye ni nani akuambiaye, Nipe maji ninywe, ungalimwomba yeye, naye angalikupa maji yaliyo hai.
Yohana 4:10ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
5
Yohana 4:34
Yesu akawaambia, Chakula changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake aliyenituma, nikaimalize kazi yake.
Yohana 4:34ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
6
Yohana 4:11
Yule mwanamke akamwambia, Bwana, huna kitu cha kutekea, na kisima ni kirefu; basi umeyapata wapi hayo maji yaliyo hai?
Yohana 4:11ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
7
Yohana 4:25-26
Yule mwanamke akamwambia, Najua ya kuwa yuaja Masihi, (aitwaye Kristo); naye atakapokuja, yeye atatufunulia mambo yote. Yesu akamwambia, Mimi ninayesema nawe, ndiye.
Yohana 4:25-26ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
8
Yohana 4:29
Njoni, mtazame mtu aliyeniambia mambo yote niliyoyatenda. Je! Inawezekana kuwa huyu ndiye Kristo?
Yohana 4:29ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
Home
ਬਾਈਬਲ
Plans
ਵੀਡੀਓ