1
Luka 9:23
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Kisha akawaambia watu wote, “Mtu yeyote akitaka kuwa mfuasi wangu, ni lazima ajikane nafsi yake, auchukue msalaba wake kila siku, anifuate.
Compare
Luka 9:23ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
2
Luka 9:24
Maana, mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza; lakini anayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu, atayaokoa.
Luka 9:24ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
3
Luka 9:62
Yesu akamwambia, “Yeyote anayeshika jembe tayari kulima na huku anaangalia nyuma, hafai kwa ufalme wa Mungu.”
Luka 9:62ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
4
Luka 9:25
Je, kuna faida gani mtu kuupata utajiri wote wa dunia kwa kujipoteza au kujiangamiza yeye mwenyewe?
Luka 9:25ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
5
Luka 9:26
Mtu akinionea aibu mimi na mafundisho yangu, Mwana wa Mtu atamwonea aibu mtu huyo wakati atakapokuja katika utukufu wake na wa Baba na wa malaika watakatifu.
Luka 9:26ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
6
Luka 9:58
Yesu akasema, “Mbweha wana mapango, na ndege wana viota lakini Mwana wa Mtu hana mahali pa kupumzikia.”
Luka 9:58ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
7
Luka 9:48
akawaambia, “Mtu yeyote anayempokea mtoto huyu mdogo kwa jina langu, ananipokea mimi; na yeyote anayenipokea mimi, anampokea yule aliyenituma. Maana yule aliye mdogo kuliko wote kati yenu ndiye aliye mkuu kuliko wote.”
Luka 9:48ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
Home
ਬਾਈਬਲ
Plans
ਵੀਡੀਓ