1
Luka 12:40
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Nanyi, kadhalika muwe tayari, maana Mwana wa Mtu atakuja saa msiyoitazamia.”
Compare
Luka 12:40ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
2
Luka 12:31
Shughulikeni kwanza juu ya ufalme wa Mungu, na hayo mtapewa kwa ziada.
Luka 12:31ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
3
Luka 12:15
Basi, akawaambia wote, “Jihadharini na kila aina ya tamaa; maana uhai wa mtu hautegemei wingi wa vitu alivyo navyo.”
Luka 12:15ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
4
Luka 12:34
Pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.
Luka 12:34ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
5
Luka 12:25
Ni nani kati yenu kwa kuwa na wasiwasi sana anaweza kuongeza kidogo urefu wa maisha yake?
Luka 12:25ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
6
Luka 12:22
Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kwa sababu hiyo nawaambieni, msiwe na wasiwasi juu ya chakula mnachohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi mnayohitaji kwa ajili ya miili yenu.
Luka 12:22ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
7
Luka 12:7
Lakini hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. Msiogope, basi; nyinyi mna thamani kuliko shomoro wengi!
Luka 12:7ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
8
Luka 12:32
“Msiogope, enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni ufalme.
Luka 12:32ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
9
Luka 12:24
Chukueni kwa mfano, kunguru: Hawapandi, hawavuni wala hawana ghala yoyote. Hata hivyo, Mungu huwalisha. Nyinyi mna thamani zaidi kuliko ndege!
Luka 12:24ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
10
Luka 12:29
“Basi, msivurugike akili, mkihangaika juu ya mtakachokula au mtakachokunywa.
Luka 12:29ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
11
Luka 12:28
Ikiwa basi, Mungu hulivika hivyo jani la shambani ambalo leo liko na kesho latupwa motoni, je, si atawafanyia nyinyi zaidi? Enyi watu wenye imani haba!
Luka 12:28ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
12
Luka 12:2
Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa.
Luka 12:2ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
Home
ਬਾਈਬਲ
Plans
ਵੀਡੀਓ