1
Mwanzo 11:6-7
Swahili Revised Union Version
BWANA akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya. Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.
Compare
Mwanzo 11:6-7ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
2
Mwanzo 11:4
Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.
Mwanzo 11:4ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
3
Mwanzo 11:9
Kwa sababu hiyo jina lake likaitwa Babeli; maana hapo ndipo BWANA alipoichafua lugha ya dunia yote; na kutoka huko BWANA akawatawanya waende usoni pa nchi yote.
Mwanzo 11:9ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
4
Mwanzo 11:1
Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.
Mwanzo 11:1ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
5
Mwanzo 11:5
BWANA akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu.
Mwanzo 11:5ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
6
Mwanzo 11:8
Basi BWANA akawatawanya kutoka huko waende usoni pa nchi yote; wakaacha kuujenga ule mji.
Mwanzo 11:8ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
Home
ਬਾਈਬਲ
Plans
ਵੀਡੀਓ