YouVersion logo
BibelLeseplanerVideoer
Få appen
Språkvelger
Søkeikon

Populære bibelvers fra 1 Mose 2

1

1 Mose 2:24

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Kwa sababu hii mtu atamwacha baba yake na mama yake, agandamiane na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.

Sammenlign

Utforsk 1 Mose 2:24

2

1 Mose 2:18

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Bwana Mungu akasema: Hiafai, mtu akiwa peke yake, nitamfanyizia mwenziwe wa kusaidiana naye.

Sammenlign

Utforsk 1 Mose 2:18

3

1 Mose 2:7

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Naye Bwana Mungu alipomwumba mtu alimtengeneza na kutumia mavumbi ya nchi, kisha akampulizia puani mwake pumzi ya uzima; ndipo, mtu alipopata kuwa mwenye roho ya uzima.

Sammenlign

Utforsk 1 Mose 2:7

4

1 Mose 2:23

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Adamu akasema: Kweli huyu ni mfupa utokao katika mifupa yangu, ni mwenye mwili utokao mwilini mwangu; kwa hiyo ataitwa mwanamke, kwa kuwa ametolewa katika mwanamume.

Sammenlign

Utforsk 1 Mose 2:23

5

1 Mose 2:3

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

kwa hiyo Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, kwa kuwa siku hiyo Mungu alizipumzikia kazi zake zote, alizozifanya za kuumba.

Sammenlign

Utforsk 1 Mose 2:3

6

1 Mose 2:25

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Nao wote wawili, Adamu na mkewe, walikuwa wenye uchi, lakini hawakuona soni.

Sammenlign

Utforsk 1 Mose 2:25

Forrige kapittel
Neste kapittel
YouVersion

Oppmuntrer og utfordrer deg til å søke nærhet med Gud hver dag.

Tjeneste

Om

Karrierer

Frivillig

Blogg

Presse

Nyttige lenker

Hjelp

Gi

Bibeloversettelser

Lydbibler

Bibelspråk

Dagens bibelvers


En digital tjeneste av

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

PersonvernerklæringVilkår
Vulnerability Disclosure Program
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Hjem

Bibel

Leseplaner

Videoer