YouVersion logo
BijbelLeesplannenVideo's
Download de app
Taalkiezer
Zoek icoon

Populaire Bijbelverzen uit Mwanzo 2

1

Mwanzo 2:24

Biblia Habari Njema

BHN

Ndiyo maana mwanamume humwacha baba yake na mama yake, akaambatana na mkewe, nao wawili huwa mwili mmoja.

Vergelijk

Ontdek Mwanzo 2:24

2

Mwanzo 2:18

Biblia Habari Njema

BHN

Kisha Mwenyezi-Mungu akasema, “Si vizuri huyu mwanamume kuwa peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa kumfaa.”

Vergelijk

Ontdek Mwanzo 2:18

3

Mwanzo 2:7

Biblia Habari Njema

BHN

Basi, Mwenyezi-Mungu akamfanya mwanamume kwa mavumbi ya udongo, akampulizia puani pumzi ya uhai, na huyo mwanamume akawa kiumbe hai.

Vergelijk

Ontdek Mwanzo 2:7

4

Mwanzo 2:23

Biblia Habari Njema

BHN

Ndipo huyo mwanamume akasema, “Naam! Huyu ni mfupa kutoka mifupa yangu, na nyama kutoka nyama yangu. Huyu ataitwa ‘Mwanamke’, kwa sababu ametolewa katika mwanamume.”

Vergelijk

Ontdek Mwanzo 2:23

5

Mwanzo 2:3

Biblia Habari Njema

BHN

Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, kwa kuwa siku hiyo Mungu alipumzika baada ya kazi yake yote ya kuumba.

Vergelijk

Ontdek Mwanzo 2:3

6

Mwanzo 2:25

Biblia Habari Njema

BHN

Huyo mwanamume na mkewe wote walikuwa uchi, lakini hawakuona haya.

Vergelijk

Ontdek Mwanzo 2:25

Gratis leesplannen en overdenkingen die te maken hebben met Mwanzo 2

Vorig hoofdstuk
Volgend hoofdstuk
YouVersion

Moedigt jou aan en daagt je uit om elke dag gemeenschap met God te zoeken.

Bediening

Over

Carrières

Vrijwilliger

Blog

Pers

Nuttige links

Help

Bijdragen

Bijbelvertalingen

Luisterbijbels

Bijbeltalen

Tekst van de Dag


Een digitale bediening van

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

PrivacybeleidVoorwaarden
Programma voor openbaarmaking van kwetsbaarheden
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Thuisscherm

Bijbel

Leesplannen

Video's