1
Yohana MT. 19:30
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Bassi Yesu alipoipokea siki, akasema, Imekwisha: akainama kichwa, akatoa roho.
Vergelijk
Ontdek Yohana MT. 19:30
2
Yohana MT. 19:28
Baada ya haya Yesu, akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizwa, andiko litimizwe, akasema, Nina kiu.
Ontdek Yohana MT. 19:28
3
Yohana MT. 19:26-27
Bassi Yesu alipomwona mama yake, na yule mwanafunzi aliyempenda amesimama karibu, akamwambia mama yake, Bibi, tazama, mwana wako. Baadae akamwambia mwanafunzi, Tazama, mama yako. Na tangu saa ile mwanafunzi yule akamchukua kwake.
Ontdek Yohana MT. 19:26-27
4
Yohana MT. 19:33-34
Walipomjia Yesu, wakiona ya kuwa amekwisha kufa, hawakumvunja miguu; lakini askari mmoja kwa mkuki alimchoma ubavu, ikatoka marra damu na maji.
Ontdek Yohana MT. 19:33-34
5
Yohana MT. 19:36-37
Kwa maana haya yalitukia andiko litimie, Hapana mfupa wake utakaovunjwa. Na tena, andiko la pili lanena, Watamtazama yeye waliyemchoma.
Ontdek Yohana MT. 19:36-37
6
Yohana MT. 19:17
akatoka, akijichukulia msalaba wake, hatta mahali paitwapo pa kichwa, na kwa Kiebrania Golgotha
Ontdek Yohana MT. 19:17
7
Yohana MT. 19:2
Askari wakasokota taji ya miiba, wakamtia kichwani, wakamvika vazi jekundu; wakawa wakimwendea
Ontdek Yohana MT. 19:2
Thuisscherm
Bijbel
Leesplannen
Video's