YouVersion logo
BijbelLeesplannenVideo's
Download de app
Taalkiezer
Zoek icoon

Populaire Bijbelverzen uit Mathayo 1

1

Mathayo 1:21

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

Atamzaa mwana, nawe utamwita Yesu. Utampa jina hilo Yesu kwa sababu yeye atawaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”

Vergelijk

Ontdek Mathayo 1:21

2

Mathayo 1:23

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

“Sikiliza! Msichana bikira atapata mimba na atazaa mwana. Huyo watampa jina la Imanueli.” (Yaani “Mungu yu pamoja nasi”.)

Vergelijk

Ontdek Mathayo 1:23

3

Mathayo 1:20

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

Lakini baada ya Yusufu kuliwazia jambo hili, Malaika wa Bwana alimjia katika ndoto na akamwambia, “Yusufu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Mariamu awe mke wako. Mimba aliyonayo ameipata kwa uweza wa Roho Mtakatifu.

Vergelijk

Ontdek Mathayo 1:20

4

Mathayo 1:18-19

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

Kuzaliwa kwa Yesu Masihi, kulikuwa hivi: Mariamu mama yake alikuwa amechumbiwa na Yusufu. Kabla hawajaoana, Yusufu aligundua kuwa Mariamu alikuwa mja mzito. (Yeye alipata mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.) Kwa kuwa Yusufu alitaka kufanya kile kilichokuwa, alikusudia kumwacha Mariamu kwa siri bila ya kumvunjia heshima.

Vergelijk

Ontdek Mathayo 1:18-19

Gratis leesplannen en overdenkingen die te maken hebben met Mathayo 1

Volgend hoofdstuk
YouVersion

Moedigt jou aan en daagt je uit om elke dag gemeenschap met God te zoeken.

Bediening

Over

Carrières

Vrijwilliger

Blog

Pers

Nuttige links

Help

Bijdragen

Bijbelvertalingen

Luisterbijbels

Bijbeltalen

Tekst van de Dag


Een digitale bediening van

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

PrivacybeleidVoorwaarden
Programma voor openbaarmaking van kwetsbaarheden
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Thuisscherm

Bijbel

Leesplannen

Video's