1
Mwa 42:21
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Wakaambiana, Kweli sisi tulimkosa ndugu yetu, kwa kuwa tuliona shida ya roho yake, alipotusihi, wala hatukusikia kwa hiyo shida hii imetupata.
Vergelijk
Ontdek Mwa 42:21
2
Mwa 42:6
Naye Yusufu alikuwa ni liwali juu ya nchi, ndiye aliyewauzia watu wote wa nchi. Nao ndugu zake Yusufu wakaja, wakainama kifudifudi mbele yake.
Ontdek Mwa 42:6
3
Mwa 42:7
Yusufu akawaona nduguze, akawatambua, lakini alijifanya kama mgeni kwao. Akasema nao kwa maneno makali, akawaambia, Mmetoka wapi ninyi? Wakasema. Tumetoka nchi ya Kanaani, ili tununue chakula.
Ontdek Mwa 42:7
Thuisscherm
Bijbel
Leesplannen
Video's