1
Mwa 37:5
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Yusufu akaota ndoto, akawapa ndugu zake habari, nao wakazidi kumchukia
Vergelijk
Ontdek Mwa 37:5
2
Mwa 37:3
Basi Israeli akampenda Yusufu kuliko wanawe wote, maana ni mwana wa uzee wake, akamfanyia kanzu ndefu.
Ontdek Mwa 37:3
3
Mwa 37:4
Ndugu zake wakaona ya kuwa baba yao anampenda kuliko ndugu zake wote, wakamchukia, wala hawakuweza kusema naye kwa amani.
Ontdek Mwa 37:4
4
Mwa 37:9
Akaota tena ndoto nyingine, akawaambia ndugu zake, akasema, Angalieni, nimeota ndoto nyingine; na tazama, jua na mwezi na nyota kumi na moja zikaniinamia.
Ontdek Mwa 37:9
5
Mwa 37:11
Ndugu zake wakamhusudu; bali baba yake akalihifadhi neno hili.
Ontdek Mwa 37:11
6
Mwa 37:6-7
akawaambia, Tafadhalini, sikieni ndoto hii niliyoiota. Tazama, sisi tulikuwa tukifunga miganda shambani, kumbe! Mganda wangu ukaondoka ukasimama, na tazama, miganda yenu ikazunguka ikainama mbele ya mganda wangu.
Ontdek Mwa 37:6-7
7
Mwa 37:20
Haya, twende, tukamwue na kumtupa katika birika mojawapo, nasi tutasema, Mnyama mkali amemla; kisha tutaona zitakuwaje ndoto zake.
Ontdek Mwa 37:20
8
Mwa 37:28
Wakapita wafanya biashara Wamidiani; basi wakamtoa Yusufu, wakampandisha kumtoa katika birika, wakamwuza Yusufu kwa Waishmaeli kwa vipande vya fedha ishirini; nao wakamchukua Yusufu mpaka Misri.
Ontdek Mwa 37:28
9
Mwa 37:19
Wakasemezana wao kwa wao, Tazama, yule bwana wa ndoto anakuja.
Ontdek Mwa 37:19
10
Mwa 37:18
Wakamwona toka mbali, na kabla hajawakaribia, wakafanya shauri juu yake ili wamwue.
Ontdek Mwa 37:18
11
Mwa 37:22
Reubeni akawaambia, Msimwage damu; mtupeni katika birika hii iliyopo nyikani, wala msimguse; ili apate kumwokoa katika mikono yao, akamrudishe kwa baba yake.
Ontdek Mwa 37:22
Thuisscherm
Bijbel
Leesplannen
Video's